7th February, 2022
Pamekuwepo na idadi kubwa ya vijana wanaojihusisha na taaluma ya kiufundi na vyuo vya anuwai. kwa mujibu wa Joise Yator mkuu wa shule ya taasisi ya mafunzo ya kiufundi katika eneo la bonde la ufa, kutokana na ukosefu wa ajira nchini vijana wengi wanatumia fursa hiyo kujiajiri kufanikisha utendakazi kwenye karakana na nyanja mbalimbali