.
29th November, 2021
Viongozi wa kidini na kisiasa kutoka jamii ya wafugaji wa Kaunti ya Tana River leo wamemwidhinisha mwenyekiti wa chama cha KANU na aliyepia Seneta wa kaunti ya Baringo Gideon Moi kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Wakati huo huo Moi aliapa kuwaonyesha cha mtema kuni viongozi wafisadi.
Chama cha KANU kimeanza kuimarishwa kwa kutumia mbinu ya kuwavutia wafuasi wa vyama vingine.