28th February, 2020
Tarehe 9 Mwezi Machi Mwaka Wa 2014, Kijiji Cha Nyathuna Kaunti Ya Nakuru Kiliamkia Majonzi Tele. Watu 10 Wa Kutoka Kijiji Hicho Walikuwa Wameangamia Katika Ajali Iliyotokea Eneo La Salgaa Baada Ya Matatu Walimokuwa Wakisafiria Kugongana Na Lori. Wanakijiji Hao Kumi Walikuwa Wameandamana Na Geoffrey Ng’ang’a Kuhudhuria Sherehe Ya Kulipa Mahari Kwao Tabitha Muthoni Eneo La Timboroa. Ng’ang’a Ni Mmoja Wa Walioaga Dunia Papo Hapo. Miaka Sita Baadaye, Tabitha Amezungumza Ktn News Kuhusiana Na Maisha Magumu Aliyoyapitia Tangu Mpenziwe Kuaga Dunia Na Jinsi Anavyoendelea.