×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

"Inatokea wazi kuwa wao wametambua BBI is here to stay," Mbunge wa Changamwe, Omar Mwinyi

24th January, 2020

Tofauti Miongoni Mwa Wanasiasa Wa Pwani Kuhusiana Na Mkutano Wa Kesho Wa Bbi Imeanza Kuibuka Huku Mkutano Ulioitwa Na Wabunge Aisha Jumwa Na Mohammed Ali Kwa Vyombo Vya Habari Ukitibuliwa Kwa Mawe Na Wanaoadaiwa Kuwa Wafwasi Wa Gavana Ali Hassan Joho. Hata Hivyo Viongozi Hao Wameapa Kuhudhuria Mkutano Wa Kesho. Wakati Huo Huo Upande Unaosimamia Maandalizi Ya Kesho Ukiongozwa Na Magavana Wanne Wa Pwani Unaendelea Katika Maeneo Ya Wild Waters.

.
RELATED VIDEOS