×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima wa mahindi katika ukanda wa North Rift walalamika kuhusu bei duni ya mbegu za mahindi

17th December, 2019

Wakulima Wa Mahindi Katika Ukanda Wa North Rift Wamelalamikia Malipo Duni Kutoka Kwa Serikali Kup9itia Kampuni Ya Mbegu Ya Kenya Seed Company. Wakulima Hao Wanadai Kuwa Kampunio Hiyo Imekuwa Ikiwalipa Malipo Yasiyolingana Na Na Gharama Ya Uzalishaji Wanafaka Wanazosambaza Kwa Taasisi Hiyo. Zaidi Ya Wakulima Hao 500 Wakionbgozwa Na Mwenyekiti Wao Barasa Tulienge Walisemakuwa Kulipwa Shilingi 65 Kwa Kilo Ni Kama Kejeli. Walizungumza Haya Mjini Kitale  Walipoipa Serikali Makataa Ya Siku Saba Kuyarekebisha Mambo Ama Wapatane Mahakamani

.
RELATED VIDEOS