×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwaanafunzi katika chuo kikuu cha Mount Kenya auwawa baada ya kudungwa kisu

23rd January, 2019

Kwa mara nyingine katika kipindi kifupi mno mwanafunzi mwengine wa chuo kikuu ameuawa. 

Wakati huu ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mount Kenya. Mwanafunzi huyo alidungwa kwa kisu hadi kufa na watu wanaoaminika kuwa majambazi katika mtaa wa mabanda wa kiandutu huko Thika. 

.
RELATED VIDEOS