×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Maandamano barabara ya Kajiado-Namanga

2nd October, 2018

Shughuli za uchukuzi zimetatizwa kwa muda wa saa nane kwenye barabara ya kajiado?namanga kufuatia maandamano ya wafanyabiashara wa makaa waliofunga barabara wakilaumu serikali ya kaunti ya kajiado na wizara ya mazingira kwa kupiga marufuku biashara ya makaa.Wafanyabiashara hao ambao wengi ni akina mama wajane wanasema kwamba walikuwa wakipata mapato kutoka kwa  biashara ya makaa ila sasa wanateseka. Aidha waandamanaji hao wamewashtumu maafisa wa polisi kwa kuzuilia makaa zaidi ya magunia 200 wakisema kuwa wanao wamekosa kwenda shule baada ya biashara zao kulemazwa.wakati uo huo, wahudumu wa magari wameelezea         kughadhabishwa na maandamano hayo anyosema yamewaletea hasara huku wakilaumu polisi kwa kutoingilia kati.

.
RELATED VIDEOS