24th September, 2018
Shule nyingi za umma katika kaunti ya kajiado hazina hati miliki za mashamba yao na ziko katika hatari ya kunyakuliwa. Haya yalibainika wakati tume ya ardhi ilipofanya vikao na walimu wakuu o. Sylvestre Mulambe kutoka wizara ya elimu amesema kwamba wizara itafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa shule zote za umma zimepata stakabadhi hizo. Rais Uhuru Kenyatta alikuwa ametoa amri hati miliki zote za shule nchini zikaguliwe.?