×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Richard Lesiyampe amekamatwa katika operesheni ya kupambana na ufisadi

30th August, 2018

Katibu wa kudumu katika wizara ya kiliomo richard lesiyampe amekamatwa katika operesheni inayoendelea ya kupambana na ufisadi katika idara mbali mbali serikalini. Lesiyampe alikamatwa leo asubuhi kuhusiana na madai ya kuidhinisha halmashauri ya mazao na nafaka NCPB kununua mahindi kwa matumizi ya mgao wa fedha ambazo hazikupaswa kufanya shughuli hiyo. Kadhalika meneja wa maswala ya fedha katika halmashauri hiyo Cornel Kiprotich amekamatwa na wote wanatarajiwa kufikishwa mbele ya mahakama ya kupambana na ufisadi baadaye.

.
RELATED VIDEOS