20th August, 2018
Kofi Annan amefariki lakini anakumbukwa na watu waliofanya kazi naye hususan nchini kenya alipokuwa msuluhishi mkuu wa mzozo wa baada ya uchaguzi. Lakini je kabla ya amani hiyo kupatikana wahusika wengine walichangia vipi amani hiyo? Miongoni mwa waliofanya kazi ya annan wanajumuisha marais wastaafu wa tanzania jakaya mrisho kikwete na benjamin mkapa. Si hao tu wapo waliojaribu kutafuta amani wakati huo.