20th August, 2018
Je, umewahi kusikia kuwa mvinyo unaweza kutengenezwa kutokana na maganda ya maembe?
Vijana wa kike kutoka kaunti ya siaya wameanzisha mradi wa kugema mvinyo kutokana na maembe mbali na kutengeneza sharubati.
Mwanahabari wetu kevin ogutu alikutana na vijana hao ambao walipokea mafunzo kutoka taasisi ya mafunzo ya ukulima ya siaya miaka miwili iliyopita.