17th August, 2018
Familia ya watu watano imeangamia yote katika ajali ya barabarani iliyotekea usiku wa kuamukia leo katika eneo hatari la Kianungi kwenye barabra ya Nyeri ? Nyahururu. Ajali hiyo iliyotokea mwendo wa saa mbili usiku ilihusisha gari dogo na matatu ya abiria kumi na wanne inayomilikiwa na chama cha 2NK. Kulinga na na OCPD wa eneo hilo Timon Odingo gari hilo dogo lilipasuka gurudumu kabla ya dereva kupoteza mwelekeo na kubingiria mara kadhaa, kisha kugongana na matatu hiyo . Makiwa kwa waathiriwa.