23rd July, 2018
Nguu Tatu Kaunti ya Mombasa wametakiwa kutoondoka katika shamba hilo licha ya jaribio la hivi punde kujaribu kuwatimua. Katibu wa baraza la mawaziri katika kaunti ya mombasa francis thoya na waziri wa ardhi edward nyale waliwatembelea maskwota hao baada ya kundi la vijana kuwavamia na kujaribu kuwatimua. Takriban nyumba 70 zilibomolewa na watu mia tatu kuachwa bila makao.