×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Senator Aaron Cheruiyot wants CS Tuju to apologise to the people of Mau

23rd July, 2018

Huku mgogoro kuhusu kuwahamisha watu waliovamia ardhi ya msitu wa Mau ukizidi kutokota maswali yanazidi kuibuka kuhusu  dhamira ya serikali  kujenga shule za umma zipatazo kumi na tano katika maeneo  yenye utata ndani ya msitu huo.

Na sasa zinahitajika kubomolewa. Kama anavyoripoti mwandishi wetu elphas lagat, masomo katika shule hizo sasa yamesitishwa huku wenyeji wakiipa serikali changamoto ya kuwafichua watu ambao wanatajwa kuwa mabwenyenye walionyakuwa ardhi katika msitu huo kisha kuiza kwa raia.

.
RELATED VIDEOS