8th January, 2018
Mbunge kandara Alice Wahome amesema kuwa pana haja ya kuimarisha juhudi za kukabiliana na pombe haramu katika kaunti ya Muranga. Akizungumza alipokutana na machaifiu na viongozi kutoka katika sehemu hiyo wahome amesema kuwa athari za unywaji pombe haramu zimedhihirika zaidi miongoni mwa vijana