Wakaazi Nyama Villa wapata afueni baada ya mwenye ardhi kukubali kuwauzia ardhi hio | MBIU WIKENDI-2
26th September, 2021
Wakaazi wa mtaa wa Nyama Villa eneo la Kayole waliobomolewa nyumba zao 2018 kutokana na kukosa hati miliki sasa wana afueni baada ya mmiliki halisi wa shamba hilo ambaye ni mfanyibiashara kukubali kuwauza vipande hivyo.