29th February, 2020
Kiongozi Wa ODM Raila Odinga Amewaongoza Wansiasa Wengine Katika Kuhudhuria Mkutano Wa BBI Ulioandaliwa Katika Uwanja Wa Kinoru Meru. Wabunge Na Maseneta Pia Kutoka Katika Mrengo Unaoegemea Mrengo Wa Tangatanga Walihudhuria Hafla Hiyo. Raila Amesema Pana Haja Ya Dharura Kenya Kuandaa Kura Ya Maamuzi Na Kuifanyia Katiba Marekebisho Katika Baadhi Ya Sehemu Kwa Minajili Ya Kuwaunganisha Wakenya. Viongozi Musalia Mudavadi Na Kalonzo Musyoka Ni Kati Ya Wale Waliotoa Hotuba Zao