6th January, 2020
Idadi kuu ya wenyeji katika vijiji vya sehemu ya Manda karibu na kambi ya simba iliovamiwa jana, wanayahama makao yao. Hali hio imetokana na shambulizi la jana, haswa baada ya milio ya risasi kutapakaa, huku wakishuku huenda wanamgambo zaidi wako msitu wa boni tayari kuwaathiri.