×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vijana wa Bunge la wananchi Nairobi walaumu kampuni moja ya pombe

3rd January, 2020

Vijana Wa Kundi La Bunge La Wananchi Hapa Jijini Nairobi Mapema Leo Wamelalamikia Kile Wanachokitaja Kuwa Mtindo Uliopo Wa Kampuni Za Kutengeza Pombe Nchini Kujihusisha Kwenye Ushindani Usio Na Maana. Wamedai Kwamba Kampuni Moja Imekuwa Na Desturi Ya Kuhujumu Biashara Za Kampuni Nyhingine, Hali Ambayo Wanasema Si Vyema Kwa Ukuaji Wa Uchumi Wa Taifa.

.
RELATED VIDEOS