×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji kaunti ya Kajiado walalamika kuhusu usumbufu wa fisi katika eneo la Bisili

6th September, 2018

Wenyeji eneo la Bisili katika kaunti ya Kajiado wanatoa wito kwa shirika la wanyama pori KWS kuwathibiti fisi ambao wamekuwa kero katika eno hilo.

Kulingana na wenyeji hao fisi  wamekuwa wakiwala mifugo takribani kila siku. 

Kisa cha hivi punde ni cha Bi Everliyne Naipanoi ambaye anaendelea kupokea matibabu baada ya kung'atwa na fisi siku nne zilizopita alipokuwa akiwaokoa mifugo wake waliokuwa wanavamiwa na fisi. 

.
RELATED VIDEOS