27th August, 2018
Familia ya mwendazake njenga karume sasa imebuni baraza la kusimamia mali ya mwanasiasa huyo mkongwe aliyeaga dunia mwezi februari mwaka 2012. Familia ya karume imekuwa katika mgogoro mkali kuhusu urithi wa mali ya marehemu . Baraza hilo la mapatano limeondoa kesi zote zilizpo mahakamani na kuamua kuuza baadhi ya mali ya karume ili kulipa madeni.