30th May, 2018
Tume ya kutetea haki za kibinadam nchini KNCHR imelalamikia vitisho dhidi ya wanaharakati wanaopaza sauti zao kuhusiana na ufisadi nchini. Hii inafuatia kutekwa nyara kwa mwanaharakati Atty Owiso na watu wanaodaiwa kuwa maafisa wa usalama ambao hawakuwa wamevaa sare maalum. Waliomhoji kabla ya kumuachilia .