Mbiu ya KTN 11 Machi 2016 - Kilio cha Shebesh
11th March, 2016
Mwakilishi wa wake katika kaunti ya Nairobi Rachael Shebesh amelaumu kiasi kidogo cha pesa wanazopewa wawalkilishi wa wake kuwa sababu kuu inayowazuia viongozi hao kufanya maendeleo katika kaunti. Akizungumza katika mkutano wa kuamasisha wanawake kuhusiana na pesa hizi Kibra, Shebesh amesema kuwa licha ya wabunge kupewa kima cha milioni 100, hawajaweza kufanya maendeleo ya kutajika.