Klabu cha CNAPS wamejitayarisha kuchuana na Gor Mahia humu Nchini
12th February, 2016
Mkufunzi wa klabu ya CNAPS Hir Bi amesema kuwa kikosi chake kiko tayari kupambana na gor mahia katika mchuano wa mkondo wa kwanza wa kinyang’anyiro cha klabu bingwa barani Africa, cnaps waliwasili jana kutoka Madagascar kwa mechi hiyo ambayo itachezwa kesho alasiri uwanjani nyayo.
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Watch KTN News http://www.ktnnews.com
Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya
Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya