Radio maisha yakita kambi TRM kusherehekea na wapendanao
12th February, 2016
Mashabiki wa Radio Maisha hii leo walijumuika na watangazaji, wacheza santuri pamoja na wanamuziki wa bendi katika eneo la kibiashara la thika road mall hapa jijini Nairobi ambapo kipindi cha connect kilipeperushwa moja kwa moja kutoka huko. Wananchi walijumuika na watangazaji Mwende na Clemo na kujifurahisha kwa maandalizi ya siku ya wapendanao yaani valentines. Waliokuwepo walitunukiwa zawadi kama maua na vifurushi vya zawadi huku muziki ukipigwa na bendi maarufu ya hart-the band.
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Watch KTN News http://www.ktnnews.com
Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya
Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya