×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanariadha Agnes Kiprop auawa kwake Iten, polisi wamtafuta mshukiwa mkuu ambaye ni mpenziwe

13th October, 2021

Mwanariadha Agnes Tirop aliyeiwakilisha kenya katika mashindano ya olimpiki kwa kushiriki mbio za mita 5000 mjini tokyo japani mwaka huu amefariki. Tirop amepatikana akiwa ameuawa mjini iteni. Kwa mujibu wa polisi, Tirop mwenye umri wa miaka 25 aliuawa kwa kudungwa kisu shingoni na mtu anayedaiwa kuwa mpenzi wake. Mshukiwa alitoweka katika mazingira tata.

.
RELATED VIDEOS