×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KENHA yaelezea sababu za ajali ya daraja la Kangemi lililoporomoka hapo jana

22nd June, 2021

Mhandisi wa halmashauri ya ujenzi wa barabara kuu nchini Kenha David Mtilwa ametoa hakikisho kwamba sehemu ya barabara ya Waiyaki iliyoporomoka katika eneo la Kangemi inafanyiwa ukarabati, na kwamba wananchi wanaotumia barabara hiyo wasiwe na hofu kwani hakuna hatari. Sehemu hiyo iliporomoka hapo jana na kuwaacha takriban watu 10 wakiuguza majeraha madogo madogo. 

.
RELATED VIDEOS