.
16th June, 2021
Mzozo uliozuka baada ya Rais Kenyatta kukataa kuidhinisha majina ya majaji 6 miongoni mwa 41 waliopendekezwa na tume ya JSC umechukua mkondo mpya baada ya mahakama kuu kutoa uamuzi wa kuzuia uchunguzi zaidi kuhusu mienendo ya majaji hao sita waliokosa kuidhinishwa na Rais kutokana na ukosefu wa uadilifu. Jaji James Makau akitoa uamuzi huo pia amezuia tume ya JSC kutekeleza ripoti ya Rais Kenyatta kuhusu majaji hao.