.
11th May, 2021
Watu kadhaa wanaendelea kuuguza majeraha baada ya kuvamiwa na kukatwakatwa mapanga na kundi la kihalifu la vijana linaloaminika kuwa wakali wao usiku wa jumatatu. Ripoti kutoka vyombo vya kiusalama inakisia kuwa huenda Mombasa ikawa na makundi 140 ya kihalifu na kuna wasiwasi wa makundi haya kuongezeka taifa linapojiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao.