×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu wanaoishi na ulemavu Nyamira wawapa changamoto wabunge kupitisha sheria ya kuwajengea njia zao

1st March, 2021

Watu wanaoishi na ulemavu katika kaunti ya nyamira wamewapa changamoto wabunge kupitisha sheria itakayoipa wizara ya uchukuzi ruhusa ya kuwajengea njia zao maalum kote nchini. Wanasema iwapo hilo litafanyika basi serikali itakuwa imewashughulikia vyema watu wanaoishi na ulemavu.  Wakizungumza huko Sironga kaunti ya Nyamira, watu wanaoishi na ulemavu baada ya kutembea kwa kilomita tano kuadhimisha siku ya kiti cha magurudumu, wamesema kwa muda sasa wamesahaulika na kwamba ni vyema serikali iamke na kushughulikia masaibu yao.

.
RELATED VIDEOS