.
2nd February, 2021
Pwani ya Kenya ni miongoni mwa maeneo yaliyoathirika pakubwa na visa vya dhulma na biashara haramu zinazolenga watoto…visa hivi vikichangiwa sana na mazingira ya utalii…na tangu ujio wa virusi vya korona visa vya kimapenzi kati ya watoto na jamaa zao au marika vilevile vimeongezeka…hii ni kwa mujibu wa leornard musembi ambaye ni afisa wa shirika la kesho Kenya linaloshughulika na masuala ya watoto nyanjani.