×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kenya yaidhimisha siku ya kimataifa ya mbilikimo inayolenga kupunguza unyanyapaa

25th October, 2020

Leo tarehe 25 mwezi oktoba ni siku ya kimataifa ya hamasisho kuwahusu watu wenye kimo kifupi. Siku hii inatumiwa kukabiliana na unyanyapaa unaowakumba mbilikimo. Nchini kenya idadi kamili ya mbilikimo haijulikani kwani kuna wale ambao wameratibiwa kama watu kamili ilhali wengine wakitengwa kama walio na ulemavu mfano katika sensa iliopita. Mwanahabari wetu wa ukanda wa pwani Tobias Chanji aliitembelea familia moja katika kaunti ya kilifi ambapo wanne wao ni wenye kimo kifupi.

 

.
RELATED VIDEOS