.
12th June, 2020
Viongozi kutoka kaunti za marsabit na wajir, wamekashifu
vikali uhasama na mapigano ya baina ya koo zinazoishi
kwenye mpaka wa kaunti hizo, uliosababisha maauaji na wizi
wa mifugo siku chache zilizopita wakizungumza jijini
nairobi kwenye mkutano wa amani uliowaleta pamoja
wabunge na magavana wa kaunti hizo mbili, magavana
mohamed abdi wa wajir na mwenzake wa marsabit, mohamud
ali, waliwataka polisi na wakuu wa usalama katika eneo hilo
kuanzisha uchunguzi dhidi ya watu wanaoendeleza
uchochezi miongoni mwa wakazi