×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wazazi walio na watoto wanaoishi na ulemavu wametakiwa kutumia vizuri nafasi za shule maalum

2nd April, 2019

Wazazi walio na watoto wanaoishi na ulemavu wametakiwa kutumia vizuri nafasi za shule maalum ili kuona kwamba watoto hao wanaendelea na masomo kama watoto wengine. Akizungumza katika eneo la kerugoya kwenye shule ya wasioweza kusikia, aliyekuwa seneta wa kaunti ya kitui na aliye mwanachama wa tume ya kitaifa ya kushughulikia maswala ya walemavu david musila amesema kuna wasiwasi kutokana na hatua ya baadhi ya wazazi kuwaficha watoto wao wanaoishi na ulemavu majumbani. Musila hata hivyo amesema kuwa watoto hao wana haki ya elimu kupitia shule maalum za serikali na zile za mashirika yasiyo ya serikali. 

.
RELATED VIDEOS