×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanariadha Wang'aa jijini London

24th April, 2016

Wanariadha kutoka Kaunti za Elgeiyo Marakwet, Nandi na Uasin Gishu walikusanyika mjini Eldoret ili kufuatilia mbio za London ambapo Wakenya walikuwa wamepigiwa upatu kung’aa, ummati huo ulijumuisha wanariadha waliostaafu na pia wale ambao bado wanajihusisha katika mashindano tofauti huku wasiwasi ukidhihirika wazi haswa pale wanariadha wa uhabeshi walipoonekana kuleta upinzani. Lakini baada ya muda wa saa mbili, wasiwasi uligeuka na kuwa vifijo, shangwe na nderemo pale Eliud Kipchoge na Jemima Sumgong walipofika kwenye utepe wa kwanza na kunyakua ushindi upande wa wanaume na wanawake mtawalia.
.
RELATED VIDEOS