Olimpiki maalum kuandaliwa siku ya jumapili
4th March, 2016
Bingwa wa dunia wa mbio za mita 3000 Ezekiel Kemboi ni mojawapo ya wanaraidha wa hadhi ya juu ambao wanatarajiwa kushiriki mbio za mwaka huu za mama wa taifa ambazo zitaandaliwa jijini Nairobi tarehe sita mwezi machi..Cynthia Jelagat aliyeshinda mashindano hayo mwaka wa 2010 katika upande wa kina dada pia anatarajiwa kushiriki. Wakati huo huo kampuni ya mawasliliano ya airtel imetoa ufhadhili kwa wanariadha wa olimpiki maalum kwa ajili ya kushiriki mbio hizo za mama wa taifa.