×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Visa vya ukeketaji vyazidi kuongezeka katika sehemu ya kaskazini mashariki mwa nchi

7th February, 2016

Visa vya ukeketaji miongoni mwa jamii nchini Kenya,vimetajwa kushuka kwa kiasi ulimwengu kote ingawa humu nchini kuna baadhi ya jamii zinaendeleza unyama huo kwa mtoto wa kike. Sehemu ya kaskazini mashariki ya Kenya,jamii ya wasomali inaongoza kwa kuendeleza visa vya ukeketaji kwa asilimia 94. Hivi maajuzi nilijionea juhudi za kupunguza ukeketaji miongoni mwa jamii,huku dada mmoja akijutia kukeketwa baada ya madhara yake kumuathiri hadi leo katika kata ya Arbaqaramso,kaunti ya Wajir. Tazama taarifa yenyewe niliokuandalia wakati ulimwengu ukisherehekea siku ya kimataifa kupinga ukeketaji hapo jana.
.
RELATED VIDEOS