×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kaunti ya Samburu yakabiliana na visa vya ukeketaji wa watoto wa kike

16th December, 2015

Kaunti ya Samburu imekuwa ikikabiliana na visa vya ukeketaji wa watoto wa kike ambao ni kunyume na sheria za Kenya….ripoti zimebaini kuwa asilimia 96 ya wasichana katika eneo hilo huathiriwa na tamaduni hizi huku wengine wakiripotiwa kuolewa mapema. Kutokana na hayo, wasichana wa makao ya Consolata wameridhia kutosherekea sikukuu za Krismasi na wapendwa wao na badala yake kusalia kwenye makao hayo kutokana na hofu kuwa masomo yao yatakatizwa na ndoa za mapema au hata ukeketaji, viloshika kasi msimu huu
.
RELATED VIDEOS