×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mto Tana unakumbwa na tishio la kupungua maji au hata kukauka iwapo hautatunzwa

24th August, 2015

Ni Delta ya pekee humu nchini na hivi majuzi imevikwa taji la mataifa kuwa mojawapo ya maeneo ya kijiografia yenye mvuto ulimwenguni. Ipo kwenye mto Tana wenye urefu wa kilomita elfu moja… Lakini sasa mto huo unakumbwa na tishio la kupungua maji au hata kukauka iwapo hautatunzwa... Mwanahabari wetu Saida Swaleh amerejea kutoka kaunti ya Tana River kupata changamoto za wakazi ambao wamekuwa wakitegemea mto huo …. Sasa anasimulia kwenye makala haya maalum Tone la mto tana.
.
RELATED VIDEOS