×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wawakilishi wa wadi Nakuru warushiana makonde kwenye kikao

10th March, 2015

Wawakilishi wa wadi kwenye bunge la Nakuru alasiri ya leo wamerushiana makonde kwenye kikao kufuatia mzozo wa kiongozi wa wengi kwenye bunge hilo. Shughuli zilisambaratishwa katika vikao vitatu mfululizo pale wawakilishi wanaompinga spika Susan Kihika walipoteta kuhusu mapendekezo ya kubadilisha baadhi ya kanuni za bunge, wakidai kuwa marekebisho hayo yanalenga kuwahujumu wale wanaomuunga alikuwa kiongozi wa wengi George Mwaura Njenga.
.
RELATED VIDEOS