×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tume ya Uwiano na Utangamano yaanza kazi katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya

2nd October, 2014

Kamati maalum chini ya tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa iliyopewa jukumu la kutatua mizozo ya eneo la kaskazini mashariki mwa kenya imeanza kutekeleza majukumu yake. Hii leo mwenyekiti wa tume hiyo na aliyekuwa spika wa bunge francis ole kaparo alifanya majadiliano ya kuleta amani kati ya jamii ya gare na degodia. Kwa kauli moja viongozi wa jamii hizo mbili walikubaliana kukomesha mapigano. Kamati hiyo sasa itatembelea eneo hilo ili kufanya uchunguzi zaidi kuhusiana na vita hivyo, huu ukiwa ni mkutano wa pili kwa kamati hiyo katika hali ya kutafuta suluhu ya kudumu dhidi ya makabiliano ya mara kwa mara kati ya jamii hizi.
.
RELATED VIDEOS