×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hali ya njaa na ukame yazidi kuwa mbaya zaidi Turkana

29th January, 2014

Wakati hifadhi kuu ya visima vya maji ya kiwango kikubwa chini ya ardhi vilipogunduliwa mwaka jana, serikali ya Kenya ilitangaza kuwa hifadhi hio ya maji ina uwezo wa kumudu mahitaji ya maji katika kipindi cha zaidi ya miaka hamsini ijayo kote nchini. Lakini miezi chache baadaye, visa vya kusikitisha vya wakenya kuchinja na kula nyama ya mbwa kutokana na njaa vimeripotiwa eneo hilo la Turkana. Je serikali imesahau majukumu yake muhimu ya kuleta maendleo humu nchini, na badala yake kuzingatia sana siasa?
.
RELATED VIDEOS