×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa mwenye asili ya Sudan aaga dunia baada ya kushambuliwa na raia mjini Nakuru

21st March, 2022

Jamaa mmoja mwenye asili ya Sudan kusini ameaga dunia huku wenzake wanne wakijeruhiwa baada ya kushambuliwa na raia nyumbani kwao mawanga, Nakuru. Katika kisa kilichozua kiwewe baina ya wakenya na wasudan kusini wanaoishi nakuru, kundi la watu linadaiwa kuvamia nyumba walimokuwa wakiishi raia sita wa sudan kusini na kuiteketeza kwa madai kuwa walikuwa wamemnyanyasa mwanamke mmoja. polisi wamesalia kimya kuhusu kisa hicho huku ubalozi wa sudan kusini ukitaka waliotekeleza kisa hicho kukamatwa. ibrahim karanja anaarifu.

 

.
RELATED VIDEOS