×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Taarifa kinzani zaibuka kuhusu alichotia saini Kalonzo katika mkataba wa makubaliano na Azimio

14th March, 2022

Taarifa kinzani zimeibuka leo kuhusu alichotia saini kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, katika mkataba wa makubaliano kati yake na muugano wa Azimio, uliomuidhinisha kinara wa ODM Raila Odinga kupeperusha bendera ya Azimio katika uchaguzi mkuu wa agosti 9.

Katika mahojiano ya kipekee na runinga ya Ktn News, Kalonzo alisema alikubaliana kuunda muungano mwingine mkubwa wa Azimio?Oka, kinyume na walivyoeleza wasemaji wa Raila leo.

Licha ya kukaribisha ushirikiano na Kalonzo, upande wa mawasiliano katika muungano wa Azimio ulishikilia kwamba habari za kalonzo hazikuwa sahihi. 

.
RELATED VIDEOS