×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri Magoha aonya dhidi ya walimu na wanafunzi kujihusisha katika udanganyifu wa mtihani wa KCSE

14th March, 2022

Waziri wa elimu Prof. George Magoha ameonya dhidi ya walimu na wanafunzi kujihusisha katika udanganyifu wa mtihani wa kidato cha nne KCSE ambao umeanza hii leo kote nchini.

Waziri Magoha, alisimamia shughuli ya usambazaji wa mitihani hiyo katika kaunti ya Mombasa huku viongozi kadha wa kadha serikalini wakikagua shughuli hiyo katika sehemu mbalimbali nchini.

.
RELATED VIDEOS