.
24th January, 2022
Je mustakabal wa muungano wa kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na kinara wa ANC Musalia Mudavadi ni upi? Ndilo swali linaloulizwa na wakenya pamoja na wadadisi wa maswala ya kisiasa baada ya wawili hao kutangaza mipango ya kushirikiana katika kampeni za uchaguzi mkuu ujao.
Hii leo mwanahabari wetu Murimi Mwangi amefanya kikao na Mudavadi, na kuandaa taarifa ifuatayo kuhusu mikakati yake kisiasa baada ya kongamano la Bomas hapo jana.