×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mauaji mengine kaunti ya Lamu; Mauaji yametokea licha ya kuwepo na amri ya kafya

10th January, 2022

Watu wawili zaidi wameuawa usiku wa kuamkia leo katika eneo la Lamu hata baada ya serikali kutangaza amri ya kutotoka nje nyakati za usiku kukabiliana na visa vya utovu wa usalama katika eneo hilo. Kwa mujibu wa mratibu wa maswala ya usalama katika eneo la pwani john elung'ata watu waliouwawa ??walikuwa wakitoroka baada ya vijiji vyao kuvamiwa

 
.
RELATED VIDEOS