×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wagombea wa viti vya kisiasa Nakuru walalamikia kulimbikiziwa viongozi na vyama vya kisiasa

7th February, 2022

Wagombea wa viti vya kisiasa katika kaunti ya Nakuru sasa wamejitokeza kulalamikia kile wanachosema ni kulimbikiziwa viongozi na vyama vya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu ujao. Wagombea hao ambao ni wanachama wa vyama mbali mbali vya kisiasa wanataka viongozi wa miungano mikuu ikiwemo Azimio la Umoja, Kenya Kwanza na One Kenya Alliance kutowaleta watu waliowateua wao, na badala yake kuruhusu uchaguzi ulio huru na haki.

.
RELATED VIDEOS