6th May, 2021
Zaidi ya familia 50 zitalazimika kulala kwenye kijibaridi kikali baada ya nyumba zaidi ya 80 kuteketezwa katika eneo la Kismai, kaunti ya Elgeyo?Marakwet, katika kile kinachodaiwa kuwa mizozo baina ya koo zinazoishi pemebezoni mwa msitu wa Embobut kaunti ya Elgeyo Marakwet.