.
22nd January, 2022
Kiongozi wa ODM Raila Odinga amepeleka kampeni zake za Azimio la umoja katika jamii ya Wamaa huko Narok na Kuwataka wamuunge mkono katika azma yake ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao Raila alifanya Mikutano ya siasa katika uwanjwa wa ololunga na ewaso Ng'iro na akazungumzia suala la msitu wa mau na juhudi zake Za kuuokoa alipokuwa waziri mkuu wa kenya wakati serikali Ya muungano.